Matata amemaliza kifungo chake na hatimaye kutoka gerezani. Huu ni mwanzo wa shida nyingi hasa katika shule nyingi za upili nchini. Matata na wenzake wawili Wembe na Kamaliza wameazimia kuwavurugia maisha wanafunzi kwa kuwauzia mihadarati. Matata ni jambazi sugu ambaye anawatetemesha maafisa wa polisi. Je atatiwa mbaroni tena pamoja na wenzake? Mwisho wa Ujambazi ni hadithi iliyofumwa na kufikia upeo wa kipekee ambao unamnasa msomaji pindi tu aanzapo kusoma.
Matata amemaliza kifungo chake na hatimaye kutoka gerezani. Huu ni mwanzo wa shida nyingi hasa katika shule nyingi za upili nchini. Matata na wenzake wawili Wembe na Kamaliza wameazimia kuwavurugia maisha wanafunzi kwa kuwauzia mihadarati. Matata ni jambazi sugu ambaye anawatetemesha maafisa wa polisi. Je atatiwa mbaroni tena pamoja na wenzake? Mwisho wa Ujambazi ni hadithi iliyofumwa na kufikia upeo wa kipekee ambao unamnasa msomaji pindi tu aanzapo kusoma.