This is Volume 2 of Sahih Al-Bukhari in Swahili translated by Abdullah Muhsin Al-Barwani.
Hii ni JUzuu ya Pili ya kitabu cha Sahih Al-Bukhari kwa Kiswahili. Kimetrjumiwa na Sheikh Abdullah Muhsin Al-Barwani. SAhih Al-Bukhari ni kitabu kinacho hishima kubwa kwa Waislamu ulimwengu wote. Kitabu kina Hadith za Mtume Muhammad SAW. Hadith za Mtume ni maneno yake na vitendo vyake katika uhai wake. Kitabu hiki kunatukuzwa na wengi baada ya Qur'ani Tukufu.
Sheikh Abdullah Muhsin ni mzaliwa wa Zanzibar na kasoma dini kwa baba yake Sheikh Muhsin na Sheikh Abdalla Saleh Al FArsi na wanazuoni wengine. Kaka yake ni Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani alie fanya tarjuma ya Al-Muntakhab katika Qur'ani Tukufu.
This is Volume 2 of Sahih Al-Bukhari in Swahili translated by Abdullah Muhsin Al-Barwani.
Hii ni JUzuu ya Pili ya kitabu cha Sahih Al-Bukhari kwa Kiswahili. Kimetrjumiwa na Sheikh Abdullah Muhsin Al-Barwani. SAhih Al-Bukhari ni kitabu kinacho hishima kubwa kwa Waislamu ulimwengu wote. Kitabu kina Hadith za Mtume Muhammad SAW. Hadith za Mtume ni maneno yake na vitendo vyake katika uhai wake. Kitabu hiki kunatukuzwa na wengi baada ya Qur'ani Tukufu.
Sheikh Abdullah Muhsin ni mzaliwa wa Zanzibar na kasoma dini kwa baba yake Sheikh Muhsin na Sheikh Abdalla Saleh Al FArsi na wanazuoni wengine. Kaka yake ni Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani alie fanya tarjuma ya Al-Muntakhab katika Qur'ani Tukufu.